Mashabiki wa Mexico waendeleza sherehe za ushindi

Mashabiki wa timu ya Mexico wameendelea kusheherekea ushindi wao dhidi ya bingwa mtetezi wa Kombe la Dunia, Ujerumani, baada ya kuifunga goli (1 - 0) katika mchezo wao wa awali katika michuano hiyo.

Kwa upande wa mashabiki wa Ujerumani, wao wamesikitishwa na matokeo hayo na kueleza kwamba timu yao haikucheza mchezo mzuri waliotarajia.

Your browser doesn’t support HTML5

Washabiki wa Mexico baada ya mchezo dhidi ya Ujerumani