Marekani yataka Russia iondolewe kutoka Baraza la Haki za Binadamu

Your browser doesn’t support HTML5

“Ushiriki wa Russia katika baraza la haki za binadamu ni kituko. Si sahihi ndio maana tunaamini wakati umefika kwa baraza kuu la umoja wa mataifa kupiga kura kuwaondoa,” amesema balozi Linda Thomas Greenfield.