Marekani na washirika wake waghadhibishwa na msimamo wa Mashariki ya Kati
Your browser doesn’t support HTML5
Mkutano wa Negev unafanyika wakati na washirika wa Ulaya wameelezea kughadhibishwa na msimamo wa mataifa ya Mashariki ya Kati. kwa kutoonyesha ungaji mkono mkubwa wa Ukraine kutokana na uvamizi wa Russia na hawajajitenga na Moscow.