Duniani Leo Marekani : Mpango wakuwaondoa wanajeshi Afghanistan shwari 7 Mei, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Maafisa wa juu wa ulinzi Marekani wanasema ikiwa imebaki chini ya wiki mmoja utaratibu wa mpango wakuwaondoa wanajeshi Afghanistan unakwenda vizuri. -Mkutano wa kutafuta amani katika kanda ya maziwa makuu hasa Mashariki ya DRC umemalizika. -Utumiaji wa dawa za kulevya waongezeka Kenya.