Marekani kuwekeza dola milioni 3.2 kuimarisha uchumi Amerika ya kati
Your browser doesn’t support HTML5
Marekani yatangaza msaada wa dola milioni 3.2 za uwekezaji kwenye mataifa ya Amerika ya Kati ikiwa ni sehemu ya kuimarisha uchumi na kudhibiti wimbi kubwa la wahamiaji.