Marekani kuendelea na zoezi la kuwaondoa wanajeshi Afghanistan

Your browser doesn’t support HTML5

Msemaji wa White House amesisitiza kuwa hakuna mabadiliko yoyote katika ratiba ya kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini Afghanistan, wakati ambapo viongozi wa Afghanistan wanatarajiwa kukutana na Rais Biden