Marefarii wanawake kuweka rekodi katika michuano ya Kombe la Dunia 2022

Your browser doesn’t support HTML5

Marefarii wanawake wanatarajiwa kuweka rekodi katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka 2022 kwa kuchezesha michezo kwenye mashindano makubwa ya wanaume kwa mara ya kwanza.