Mapokezi ya timu ya Kenya Olimpiki Tokyo 2020 yaibua mjadala
Your browser doesn’t support HTML5
Timu ya Kenya Olimpiki Tokyo 2020 yapokelewa nyumbani katika namna ambayo imezua mjadala wakati maoni yamekuwa mseto ambayo iliibuka nchi kinara barani Afrika kwa kujizolea medali nyingi zaidi ikilinganishwa na mataifa engine.