Majimbo matatu Marekani yatoa amri ya kiutendaji ya karantini

Your browser doesn’t support HTML5

Magavana wa majimbo matatu Marekani wamewataka wasafiri kutoka majimbo nane kujiweka karantini wanapowasili katika miji hiyo kutokana na kuongezeka kwa maambukizi ya COVID-19 kutoka katika maeneo wanapotokea.