Maisha na Afya Ep. 83: Ajali za barabarani kuuwa zaidi ya watu milioni moja kila mwaka
Your browser doesn’t support HTML5
Ndani ya Maisha na Afya Wiki Hii: Ajali za barabarani zinauwa zaidi ya watu milioni moja kila mwaka, Utasikia maoni ya wakaazi wakielezea mlolongo wa ajali za barabarani na Madaktari wakimbizi, ndio waokoaji maisha katika Royal London Hospital.