Mafuriko yaikumba baadhi ya miji ya UAE

Your browser doesn’t support HTML5

Mafuriko yamepiga maeneo ya Umoja wa Falme za Kiarabu wakati nchi ikikumbwa na mvua kubwa.

Baadhi ya watu waliokwama ambao walishindwa kutoka katika nyumba zao kwenye miji ya Sharjah na Fujairah waliokolewa na askari wa ulinzi wa raia. Fujairah iliathiriwa vibaya kutokana na hali yake ya asili ya milima na miinuko.