Maelfu ya watu wamuaga kijana aliyepigwa na polisi kikatili na baadae kufariki

Your browser doesn’t support HTML5

Kifo cha kusikitisha cha Tyre Nichols kijana mweusi wa umri wa miaka 29 kutokana na kupigwa na polisi watano kikatili mwezi uliyopita.

Kifo cha kusikitisha cha Tyre Nichols kijana mweusi wa umri wa miaka 29 kutokana na kupigwa na polisi kikatili mwezi uliyopita. Kifo chake kimezusha tena mjadala kote Marekani kuhusu ukatili wa polisi na pia kuashiria kuwa maandamano ya kitaifa ya 2020 kufuatia mauaji mengine yaliyofanywa na polisi hayakusaidia katika kuleta mageuzi.