Madhila wanayokumbana nayo wakimbizi wanaojaribu kurejea katika kambi ya Daadab

Your browser doesn’t support HTML5

Mmoja wa wakimbizi wanaorejea ambao hawajasajiliwa akabiliwa na kikwazo cha kuzuiliwa kuingia katika programu ya msaada, katika kambi ya Daadab. Ungana na mwandishi wetu huko Kenya akielezea sababu zilizopelekea kutotambuliwa na serikali.