Maandamano yaendelea DRC kushinikiza MONUSCO iondoke
Your browser doesn’t support HTML5
Maandamano yaendelea Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wananchi wakishinikiza Tume ya Kulinda Amani ya UN, Monusco waondoke nchini kwa madai ya kuwa wameshindwa kuwalinda wananchi wasiuawe.