Maandamano Sudan : Watu 15 wapigwa risasi

Your browser doesn’t support HTML5

Mapigano ya mitaani yameutikisa tena mji mkuu wa Sudan Alhamisi siku moja baada ya vikosi vya usalama kuwaua kwa kuwapiga risasi waandamanaji 15 katika siku ya umwagaji damu mkubwa tangu jeshi lilipochukua madaraka Oktoba 25.