Ameahidi kuwa ACT Wazalendo italinda maamuzi ya wananchi wa Zanzibar. Amesema hayo katika mkutano wa kuchugua wagombea wa urais wa Tanzania na Zanzibar wiki iliyopita.
Maalim Seif : "Tutalinda maamuzi ya wananchi wa Zanzibar
Your browser doesn’t support HTML5
Maalim Seif ambaye miezi ya karibuni alijiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo asema wako tayari kukubali matokeo ya uchaguzi iwapo watashindwa kihalali.