Maafisa wa uchaguzi waendelea kuhakikisha upigaji kura ni wa haki Marekani
Your browser doesn’t support HTML5
Maafisa wa uchaguzi wanaendelea na maandalizi ya kuhakikisha wananchi wa Marekani wanapiga kura, wanastahili kupiga kura, na kufuatilia kuripoti matokeo ya uchaguzi.