Endelea kusikiliza uchambuzi kamili unaoletwa na mwandishi wetu aliyoko Qatar na mtaalam wa masuala ya Kombe la Dunia kutoka nchini Tanzania.
Kombe la Dunia: Saudi Arabia yapata ushindi wa kihistoria
Your browser doesn’t support HTML5
Jiji la Riadh linaripotiwa kusherehekea ushindi wa kihistoria ambao timu ya Saudi Arabia imeifunga mabao 2-1 timu maarufu ya Argentina na hivyo kuushangaza ulimengu.