Kombe la Dunia Russia 2018 : Matukio ya timu zilizopambana katika michuano ya awali
Madaktari wa timu ya Belgium wakimsaidia mchezaji Romelu Lukaku kupata huduma ya kwanza wakati wa mechi ya Kundi G kati ya Belgium and Tunisia katika uwanja wa Spartak Moscow, Russia, Jumamosi, Juni 23, 2018.
Mchezaji wa timu ya Uingereza Jesse Lingard akiwatoka wachezaji wa Panama Armando Cooper, kushoto, na Blas Perez wakati wa mechi za kundi G kati ya Uingereza na Panama katika uwanja wa Nizhny Novgorod, huko mji wa Nizhny Novgorod , Russia, Jumapili, Juni 24, 2018.
Mchezaji wa Argentina Lionel Messi akisheherekea ushindi baada ya mchezo wa kundi kati ya Argentina and Nigeria katika uwanja wa St. Petersburg katika mji wa St. Petersburg, Russia, Jumanne, Juni 26, 2018. Argentina ilishinda 2-1.
Mchezaji wa Argentina's Marcos Rojo, wapili kulia, akifunga goli la pili wakati wa mchuano kati ya Argentina and Nigeria.
Timu ya Japan's ikiwa katika mazoezi huko mjini Kazan, Russia Juni 26, 2018 wakati wa michuano ya Kombe la Dunia Russia 2018.
Mfungaji wa timu ya Colombia's Yerry Mina, kulia, akishangilia na mchezaji wa timu yake Davinson Sanchez baada ya kufunga goli la kwanza wakati wa mechi ya Kikundi H wakati Poland ilipocheza na Colombia huko katika uwanja wa Kazan, Russia, Jumapili, Juni 24, 2018.
Mchezaji wa Argentina's Lionel Messi, kulia, akitoka uwanjani wakati mchezaji wa Croatia Sime Vrsaljko akisheherekea ushindi wa timu yake wa mabao 3-0 ulipomalizika mchuano wa kundi D katika pambano kati ya Argentina and Croatia kwenye uwanja wa Nizhny Novgorod huko Novgorod, Russia, Alhamisi, Juni 21, 2018.
Mchezaji wa Nigeria Victor Moses, kushoto, na mchezaji wa Argentina's Nicolas Tagliafico wakigombania mpira wakati wa pambano la kundi D.
Mchezo wa kundi A - Saudi Arabia vs Egypt huko uwanja wa Volgograd, mjini Volgograd, Russia - Juni 25, 2018. Mchezaji wa Misri Ahmed Fathy akikabiliana na mchezaji wa Saudi Arabia Salem Al-Dawsari.
Mchezaji wa Brazil Philippe Coutinho, katikati, akifunga goli la kwanza wakati wa pambano la Kundi E kati ya Brazil and Costa Rica kwenye uwanja wa St. Petersburg, mjini St. Petersburg, Russia, Ijumaa, Juni 22, 2018.
Mchezaji wa Portugal Cristiano Ronaldo, kulia, na mchezaji wa Iran's Omid Ebrahimi wakinyang'anyana mpira wakati wa pambano la kundi B katika uwanja wa Mordovia, mjini Saransk, Russia, Jumatatu, Juni 25, 2018.
golikipa wa Iran Ali Beiranvand akionyesha hisia zake baada ya kumalizika mechi ya kundi B kati ya Iran na Portugal katika uwanja wa Mordovia, mjini Saransk, Russia, Jumatatu, Juni 25, 2018.
Mchezaji wa Iceland's Alfred Finnbogason, kushoto, akiwa na mwenzake Hordur Magnussonat baada ya kumalizika mechi ya kundi D kati ya Iceland and Croatia, katika uwanja wa Rostov, mjini Rostov-on-Don, Russia, Jumanne, Juni 26, 2018.
Mchezaji wa Argentina's Lionel Messi na mchezaji wa Nigeria's John Obi Mikel wakinyang'anyana mpira katika mechi ya kundi D.
Mchezaji wa Uruguay's Edinson Cavani akishangilia na mchezaji wa timu yake Diego Godin, kulia, baada ya kufunga goli la tatu katika mechi ya kikundi A kati ya Uruguay na Russia katika uwanja wa Samara, mjini Samara, Russia, Jumatatu, Juni 25, 2018.
Mchezaji wa Japan Keisuke Honda, kulia, akifunga goli la pili kwa timu yake baada ya kumpita mchezaji wa Senegal Kalidou Koulibaly wakati wa mechi ya kundi H kati ya Japan and Senegal katika uwanja wa Yekaterinburg, mjini Yekaterinburg , Russia, Jumapili, Juni 24, 2018.
Golikipa wa Argentina Wilfredo Caballero nyuma ya mchezaji Ante Rebic wa Croacia kufunga goli katika mchezo wa kundi D kati ya Argentina and Croacia.
Mchezaji wa Misri Mohamed Salah wakishindana kuchukua mpira na mchezaji wa Saudi Arabia's Salman Al-Faraj.
Mchezaji wa Panama Blas Perez akimrukia mchezaji wa timu yake Felipe Baloy baada ya kufunga goli la kwanza wakati wa pambano dhidi ya Uingereza kwenye mechi ya kundi G katika uwanja wa Nizhny Novgorod, mjini Nizhny Novgorod , Russia, Jumapili, Juni 24, 2018.
Mchezo wa Kundi C - Denmark vs Ufaransa - Uwanja wa Luzhniki, Moscow, Russia - Juni 26, 2018 Mchezaji wa Ufaransa Olivier Giroud akipiga mpira kuelekea lango la Denmark.
Mchezaji wa Nigeria Ahmed Musa, kulia, akishangilia kufunga goli la kwanza wakati wa mchuano wa kundi D kati ya Nigeria na Icelanda.
Mchezaji wa Brazil's Neymar (haonekani) na Gabriel Jesus (katikati) wakivunja yai juu ya kichwa cha mchezaji wa timu yao Philippe Coutinho wakisheherekea siku ya kuzaliwa kwake wakati wa maandalizi ya michuano ya Kombe la Dunia Juni 12, 2018 huko Russia.
Wachezaji wa Croatia wakisalimiana na washabiki wa timu hiyo baada ya kumalizika mechi ya kundi D kati ya Iceland na Croatia.
Mchezaji wa Japan Keisuke Honda, kushoto, akifunga goli wakati wa mechi ya kundi H kati ya Japan na Senegal.
Mchezaji wa Peru Andre Carrillo, kushoto, na mchezaji wa Australia Joshua Risdon wakigombania mpira wakati wa mechi ya kundi C.