- Wakati huohuo Barcelona wamepanda hadi nafasi ya tatu na wako nyuma ya Real kwa pointi 12 wakiwa na mchezo mkononi.
Kocha wa timu ya Real Madrid atangaza atawajibika
Your browser doesn’t support HTML5
Kocha wa timu ya Real Madrid Carlo Ancelotti anasema anawajibika baada ya timu yake kufungwa mabao 4 kwa nungwe nyumbani na wapinzani wao Barcelona.