Matangazo ya Duniani Leo yanawajia kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.#habari
Kiongozi wa mapinduzi Sudan atangaza baraza jipya la uongozi
Your browser doesn’t support HTML5
Kiongozi wa mapinduzi nchini Sudan Abdel Fattah al-Burhan atangaza baraza jipya la uongozi akijiteua mwenyewe kuwa kiongozi na kuwaacha nje wajumbe wa kiraia wa baraza lililopita.