Ungana na mwandishi wetu akikuletea mtiririko wa changamoto zinazomkabili kijana huyu baada ya wimbi la ghasia za waasi kumhamisha kutoka katika makazi yake . Endelea kusikiliza...
Kijana wa DRC aeleza namna vita vilivyomkosesha fursa ya kwenda shule
Your browser doesn’t support HTML5
Kijana wa DRC anaeleza anatamani angekuwa anasoma kwa ajili ya mitihani yake ya mwisho ya shule. Badala yake anafanya kazi mbalimbali katika kambi ya wakimbizi ili kumletea kipato.