Kijana mmoja Kenya ambaye anatumia sanaa kusafisha mazingira
Your browser doesn’t support HTML5
Wasanii tofauti duniani wamejiunga na wanamazingira kusaidia katika juhudi za
kuhifadhi mazingira kupitia sanaaa na ubunifu. Nchini Kenya kuna kijana ambaye
anatumia sanaa kusafisha mazingira, kujitafutia riziki na kuendeleza kipawa chake
cha ubunifu