Kenyatta atembelea Goma wakati mapigano yakiendelea karibu na mji huo wa mashariki ya Congo

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta alitembelea mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wapiganaji wa kundi la M23 walikuwa wanapigana jeshi la taifa FARDC, kaskazini mwa mji huo.