Ungana na Mwandishi wetu akimhoji mwenyekiti wa wafanyabiashara katika soko la Pumwani, Nairobi nchini Kenya na kueleza namna mfumo mzima wa biashara ya miraa unavyoendeshwa katika sehemu ya kwanza ya makala hii. Endelea kumsikiliza
Kenya: Ufahamu mfumo wa biashara ya miraa na athari zake
Your browser doesn’t support HTML5
Soko la miraa nchini Kenya ambapo wafanyabiashara wanasubiri siku nzima kutoka mashamba ya wakulima. Umati mkubwa wa wafanyabiashara wamekusanyika kusubiri shehena na mzigo huo iliwaweze kununua. Pia wafanyabiashara hawa wanataarifa kuwepo kwa soko jipya huko nchini Somalia.