Kenya inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari

Your browser doesn’t support HTML5

Kenya bado inaendelea kukabiliwa na ukiukaji mkubwa wa uhuru wa habari dhidi ya wanahabari na vyombo vya habari hususan mwaka 2022.

Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti ya hatua ambazo zimepigwa katika kuimarisha upashaji habari na changamoto ambazo bado zinawakabili waandishi na vyombo bya habari. Endelea kusikiliza.