- Kusudio la Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, FIFA, kuandaa Kombe la Dunia kila baada ya miaka miwili limeongezeka kwa kuchapisha maoni ya mashabiki katika mtandao ulioandaliwa na shirikisho hilo.
Kauli mbiu ya Michezo ya Olympiki majira ya baridi yazinduliwa
Your browser doesn’t support HTML5
Waandaaji wa Michezo ya Olimpiki ya majira ya Baridi ya Beijing 2022 wamezindua kauli mbiu 'Pamoja kwa wakati ujao unaoshirikisha'.