Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alaani ukatili wa polisi
Your browser doesn’t support HTML5
Wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akitoa tamko la kulaani ukatili wa polisi nchini Nigeria, shirika la haki za binadamu Amnesty International limeripoti watu 12 waliuawa polisi waliposhambulia waandamanaji.