Jussa atetea uwamuzi wa ACT-Wazalendo kuijunga na serikali Zanzibar

Your browser doesn’t support HTML5

Ismail Jussa, mwanachama wa Kamati Kuu ya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo anasema "uwamuzi wa kujiunga na serikali ni kufuatana na katiba ya Zanzibar kwanza, lakini chama kimefuata matakwa ya wanachama na uwamuzi wa viongozi wa Kamati Kuu."
Aklizungumza akita Hospital Nairobi, Kenya Jussa anasema wykiwa niani ya seriali wataweza kutanzua matatizo mbali mbali kuliko wakiwa nje.