Juhudi za kuhamasisha uzazi wa mpango zajikita Kaunti ya Kilifi

Your browser doesn’t support HTML5

Mwanamke kwenye Kaunti ya Kilifi, Pwani nchini Kenya, aeleza hapakuwa na uhamasishaji wa uzazi wa mpango na hivyo alijikuta anafululiza kuzaa watoto kila mwaka. .