Duniani Leo Jeshi la Ethiopia lashambulia kwa mara ya nne Tigray 22 Oktoba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Vikosi vya jeshi la Ethiopia vimefanya mashambulizi kwa mara ya nne wiki hii katika mkoa Tigray. - Rais wa Somalia na Waziri Mkuu wake wamekubaliana kumaliza uhasama. - Rais wa Burundi afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania.