Jeshi la DRC lawakabili waasi wa M23 Kivu Kaskazini
Your browser doesn’t support HTML5
Mapigano kati ya Jeshi la Congo, FARDC, na waasi wa M23 yaendelea kwa siku ya tatu huko Kivu Kaskazini, Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Your browser doesn’t support HTML5