Jela kuu ya Munzenze huko Goma imechomwa moto
Your browser doesn’t support HTML5
Tukielekea huko DRC tuaarifiwa kuwa jela kuu ya Munzenze huko Goma imechomwa moto na wafungwa wenyewe kwasababu hawapewe chakula ila hakuna maafa yoyote
Your browser doesn’t support HTML5