Idara ya FBI yaonya uwezekano wa maandamano yenye silaha

Your browser doesn’t support HTML5

Wakati sherehe za kuapishwa Rais mteule Joe Biden zikikaribia Idara ya Upelelezi wa Jinai Marekani, FBI, inaeleza taarifa za mitandaoni zinathibitisha kuwepo uwezekano wa maandamano yenye silaha ya wafuasi wa Rais Trump.