- Raia wa Kenya afunguliwa mashtaka ya ugaidi nchini Marekani kwa tuhuma za kupanga kutekeleza shambulizi Marekani kwa niaba ya al-Shabaab.
Idadi ya maambukizi ya COVID-19 yaendelea kuongezeka Marekani
Your browser doesn’t support HTML5
Wakati Marekani ikisambaza chanjo nchini kudhibiti maambukizi ya COVID-19, idadi ya maambukizi yaendelea kuongezeka nchini.