Tanzania : Hukumu iliyowatia viongozi wa upinzani hatiani yabatilishwa
Your browser doesn’t support HTML5
Mahakama Kuu nchini Tanzania imebatilisha hukumu iliyowatia hatiani viongozi wa upinzani akiwemo kiongozi wa upinzani wa Chadema Freeman Mbowe kwa makosa ya kuandamana na uchochezi.