Euro 2020 : Hali ya mchezaji wa Denmark yaendelea kuimarika
Your browser doesn’t support HTML5
Hali ya mchezaji wa Denmark inaelezwa kuimarika tangu alipopatwa na mshituko wa moyo na kuanguka timu yake ilipokuwa ikicheza michuano ya ufunguzi ya Euro 2020 na Finland siku ya Jumamosi.