Ethiopia: Vita vya miaka miwili vimewaathiri watoto kisaikolojia katika mkoa wa Tigray

Your browser doesn’t support HTML5

Vita vya miaka miwili vya wenyewe kwa wenyewe vimewaathiri watoto kisaikolojia katika mkoa wa Tigray, Ethiopia na kusababisha baadhi yao kuwa yatima au kutengana na familia zao.

Kivu kaskazini, DRC yakabiliwa na hali ya hatari baada ya mamlaka katika eneo kuthibitisha kuwa kuna uwezekano wa mlipuko wa volcano katika mlima ulioko eneo hilo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari