Duniani Leo : Septemba 8 : Viongozi wa kijeshi Guinea wawaachia huru takriban wafungwa 80
Your browser doesn’t support HTML5
Viongozi wa kijeshi waliochukuwa madaraka Guinea wamewaachilia huru takriban wafungwa 80 kabla ya mkutano wa Jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS.