Duniani Leo : Septemba 16 : Kenya kuanza kutengeneza chanjo ya COVID-19 16 Septemba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Serikali ya Kenya yasema itaanza kutengeneza chanjo ya COVID-19 nchini mwake - Rais wa Somalia amuondolea madaraka Waziri Mkuu wa nchi hiyo. - Wakimbizi wa Eritrea wakumbwa na unyanyasaji wa kupindukia.