Duniani Leo: Rais Tshisekedi akutana na Rais Macron
Your browser doesn’t support HTML5
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi na mwenyeji wake rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, wamelaani ghasia zinazojitokeza nchini Chad pamoja na baraza la kijeshi kunyakua madaraka baada ya kifo cha rais Idriss Deby.