-New York yatangaza mkakati wa kufungua shughuli za kawaida kwa njia salama baada ya mji huo kuweka amri kali ya kutotoka nje kufuatia janga la corona.
Duniani Leo Mei 29, 2020
Your browser doesn’t support HTML5
- Maandamano yaendelea sehemu mbalimbali kulaani vitendo vya polisi kufuatia kifo cha Mmarekani mweusi George Floyd aliyekufa akiwa mikononi mwao.