Duniani Leo: Jan 20: Biden ana wasiwasi Russia inaweza kushambulia Ukraine 20 Januari, 2022 Your browser doesn’t support HTML5 Rais wa Marekani Joe Biden amesema ana wasiwasi mkubwa kwamba Russia inaweza kushambulia Ukraine wakati wowote. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari