Duniani Leo: Jan 12: Rais Biden apambania mswaada mpya wa haki ya kupiga kura 13 Januari, 2022 Your browser doesn’t support HTML5 Rais wa Marekani Joe Biden apambania mswaada mpya wa haki ya kupiga kura Marekani huku Warepublikan wakiweka mazingira magumu. Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari