Duniani Leo : Disemba 3 : Afrika Kusini yaingia katika wimbi la nne la COVID-19 - Waziri 3 Desemba, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Waziri wa Afya wa Afrika Kusini anasema nchi hiyo inaingia katika wimbi la nne la COVID-19 kufuatia aina mpya ya virusi vya omicron Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari