Duniani Leo: Disemba 23: Operesheni za kijeshi DRC zaonyesha mafanikio makubwa

Your browser doesn’t support HTML5

Operesheni za kijeshi za kupambana na waasi zinazofanywa na muungano wa majeshi ya Uganda na DRC katika eneo la Beni kaskazini zaonyesha mafanikio makubwa.

Hali ya sintofahamu yazuka Libya baada ya uchaguzi kuahirishwa, mchakato wa amani waingia dosari, serikali ya mpito ikiwa mashakani.

Idadi ya kesi zilizo thibitishwa za COVID-19 Marekani zaongezeka kufikia milioni 50 hadi Jumatano

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari