Duniani Leo Aprili 29, 2020

Your browser doesn’t support HTML5

- Rais Trump aeleza Marekani inaamaabukizi ya juu zaidi kuliko nchi nyingine duniani kwa sababu imefanya vipimo zaidi vya COVID-19.
- Idadi ya maambukizi ya corona Tanzania imefikia zaidi ya watu 480, wakati serikali ikiwaonya wanaosambaza video ambazo sio za kweli kuhusu maambukizi nchini humo.