Duniani Leo Dunia yaukaribisha mwaka mpya kwa shauku kubwa 1 Januari, 2021 Your browser doesn’t support HTML5 Ulimwengu waukaribisha mwaka mpya 2021 kwa shauku kubwa huku sherehe zikikosa mbwembwe kutokana na janga la COVID-19. -Waasi wa ADF waua watu 25 mashariki ya DRC. -Mkataba wa biashara huru kati ya Mataifa ya kiafrika waanza kutekelezwa Ijumaa.