DRC yaanza kutoa chanjo kwa wananchi dhidi ya Ebola
Your browser doesn’t support HTML5
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikishirikiana na Shirika la Afya Duniani, WHO, imeanza kutoa chanjo ya Ebola kufuatia mlipuko mpya kwa wale ambao waliokuwa hawajapatiwa.