DRC: Waumini wa Kanisa Katoliki na makanisa mengine washiriki katika maandamano ya amani kulaani vita

Your browser doesn’t support HTML5

Maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki na makanisa mengine nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameungana katika maandamano ya amani ili kupinga vita vinavyoendelea mashariki ya nchi hiyo.

- Matumaini ya Afrika katika Kombe la Dunia yabakia kwa Morocco baada ya Simba wa Teranga kutoka Senegal kutolewa na Uingereza.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari